Makazi General &Car Dealers

Makazi General &Car Dealers Makazi General & Car Dealers. Property & Asset Advisory. Wauzaji Na Wanunuzi Hukutana Hapa. Makazi General LTD & Car Dealers. Uaminifu Na Uwazi Ndio Dira Yetu.

For Serious Investors.

đź’ĽProperty and vehicle acquisition handled with verified ownership, due diligence, and professional guidance.
🙏For Serious Investors

Let's Connect 📲 +255 785 439 614

Ukiacha Pesa Zako Benki Zinanapoteza Thamani, Hata K**a ni Fixed Profit ya 10-12% kwa Mwaka ni Sawa na Kulinda Mdumko wa...
09/06/2026

Ukiacha Pesa Zako Benki Zinanapoteza Thamani, Hata K**a ni Fixed Profit ya 10-12% kwa Mwaka ni Sawa na Kulinda Mdumko wa Bei kwa % Chache Sana..

Ila ukiiwekeza kwenye Ardhi ya Dodoma Inazalisha Utajiri! Kwa 30-40% kwa Mwaka 🏢💰

Miliki Viwanja vya Kimkakati Katika Maeneo ya Juu ya Uwekezaji (Prime Locations) Jijini Dodoma.

​
​Huwezi kupiga hatua kubwa ya kiuchumi kwa kusubiri—unapiga hatua kwa kuchangamkia fursa kabla wengine hawajastuka.
Makazi General Properties tumekukusanyia maeneo bora zaidi jijini Dodoma ambayo yako tayari kwa ajili ya miradi mikubwa ya kibiashara, makazi ya kifahari, au kitega uchumi chochote unachowaza kukijenga.

​Hizi hapa fursa za dhahabu zilizopo mezani leo:

​Njedengwa Investment (Block BA) | SQM 4,000: Ni Corner Plot ya kipekee inayotazama barabara ya lami pande mbili. Eneo kamili kwa ajili ya hoteli, jengo la ofisi, au maduka makubwa. [Bei: Tsh 1.6B]

​Iyumbu (Block S) | SQM 3,300: Ipo katikati kabisa ya New Town Center. Eneo linalokua kwa kasi ya hatari. [Bei: TSh 350M]

​Medeli West (Shoppers) | SQM 2,611: Eneo teule la kibiashara karibu na huduma zote muhimu.
[Bei: TSh 680M]

​Medeli West | SQM 3,122: Ukubwa na nafasi ya kutosha kwa mradi wowote wa maana. [Bei: TSh 1.5B]

​Mlimani (Uzunguni) | SQM 4,300: Eneo la kifahari zaidi Dodoma! Linatazama barabara ya lami, linafaa kwa makazi ya viongozi, ubalozi, au apartimenti za kisasa. [Bei: TSh 2.1B]

🎯​Chukua Hatua Sasa Hivi:

​Hati zote zipo safi na maeneo yameshapimwa tayari kwa maendeleo. Usiache fursa hii ipite, ardhi ya Dodoma haisubiri mtu!

​Wasiliana nasi sasa hivi kupata maelezo zaidi au kufanya ukaguzi:

​📞 Simu/WhatsApp:
+255 765 113 961 | +255 785 439 614

​📧 Barua Pepe: [email protected]

​📍Ilazo Extension, Dodoma

​

Thamani ya ardhi hutofautiana kulingana na eneo ilipo, miundombinu na uwekezaji uliofanyika maeneo hayo.Ukiwekeza kwenye...
08/06/2026

Thamani ya ardhi hutofautiana kulingana na eneo ilipo, miundombinu na uwekezaji uliofanyika maeneo hayo.

Ukiwekeza kwenye kiwanja chenye Thamani kubwa unakuwa umejihakikishia ongezeko la Thamani kadri muda unavyokwenda.

Ni tofauti na ukiwekeza jengo la thamani kubwa kwenye kiwanja chenye Thamani ndogo kulingana na eneneo kilipo.

Hapo unakuwa umepata hasara na ongezeko la Thamani litakuwa kwa taratibu sana na hiyo itapelekea kushindwa kupata ROI kwa wakati.

Ndio maaa tunashauri ufanye uchunguzi na uchambuzi wa kina kabla hujanunua ardhi na upate majibu ya maswali haya 5.

1. Nini dhumuni hasa la uwekezaji wangu, ni jengo la kuishi, jengo la biashara, au vyote kwa pamoja?

2. Bei ya ardhi ninayopewa ni halisi, iko juu au chini ya bei halisi ya soko?

3. Gharama zote za uwekezaji kuanzia kiwanja mpaka jengo kukamilika ni kiasi gani, na je ninacho kiasi hicho cha pesa au nitakopa?

4. Na k**a sihitaji kuwekeza sasa hivi nataka ninunue tu ardhi niiache kwa muda, ukuaji wa Thamani ya ardhi maeneo hayo ukoje?

5. K**a sitajenga ninaweza kurudisha pesa yangu muda wowote nikiamua kupauza?

6. Na k**a nitaamua kuwekeza, itachukua muda gani kurudisha Gharama zote za uwekezaji wangu bila kupauza?

Ukipata majibu ya maswali hayo yote unaruhusiwa kuwekeza au kuacha kuwekeza ukiwa na maamuzi sahihi na uhakika wa kile unachokifanya.

Kwa ushauri wa kitalaamu kuhusu ardhi na uwekezaji wasiliana nasi leo 0785 439 614

Follow kupata madini ya kutosha kuhusu ardhi na uwekezaji kila siku.

Mtag rafiki yako mwenye mapenzi sana na ardhi au uwekezaji kwenye real estate Tanzania 🇹🇿

05/06/2026
TOYOTA KLUGER MPYA YA KUWAHI🔥...✅️Gari ni Mpya huendi garage 100%✅️Imeagizwa japan ikasajiriwa na kuingia sokoni.✅️Gari ...
05/06/2026

TOYOTA KLUGER MPYA YA KUWAHI🔥...

✅️Gari ni Mpya huendi garage 100%
✅️Imeagizwa japan ikasajiriwa na kuingia sokoni.
✅️Gari imepasi ukaguzi wote wa engine, gearbox, bodywork na electronic diagnosis machine 100%
🌎Dar Es Salaam
đź’µThamani yake ni millioni 29.8 Tu - Maongezi yapo kidogo sana.

🎯Ni vyema kuona, kukagua na kujiridhisha.
📱Tuwasiliane:
+255765113961
+255785439614

Magari Mazuri ya Bei Nafuu Huwa Tunapost Kwenye Channel Yetu Tu.

Jiunge Mapema Bado ni BUREE kwa Sasa.
⬇️
https://whatsapp.com/channel/0029VaCpJ56EVccK8MKqfI0Y

31/05/2026

Toyota Altezza v/s Toyota Premio...

Wewe ni Kijana wa MAKELELE au Mzee wa MAHESABU mengi mjini?

Haijalishi unahitaji Toyota Altezza au Toyota Premio zote tunazo kwa bei inaendana kabisa na kipato chako.

Toyota Allteza inataka milioni 4.5 Tu
Toyota Premio inataka milioni 15.7 Tu

Unachagua ipi leo, tucheki tukupe gari uipendayo.

Call & WhatsApp 0785439614

Kuona magari mengine mazuri lakini ya bei rafiki kidogo bonyeza link hapa chini.
👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaCpJ56EVccK8MKqfI0Y

28/05/2026
Kununua kiwanja Tanzania inaweza kuwa uwekezaji mzuri au mwanzo wa maumivu ya kichwa.Hapa kuna mambo 3 ya haraka ya kuka...
16/05/2026

Kununua kiwanja Tanzania inaweza kuwa uwekezaji mzuri au mwanzo wa maumivu ya kichwa.

Hapa kuna mambo 3 ya haraka ya kukagua ili usije ukauziwa kiwanja cha wazi (Open Space) au eneo la mtu mwingine.

1.​Hakikisha unafanya 'Search' ya hati wizarani au manispaa.

2.​Ongea na majirani wa eneo hilo kabla ya kutoa pesa.

3. ​Shirikisha serikali ya mtaa husika.

​K**a unatafuta viwanja vilivyopimwa na vyenye hati salama hapa Dar es salaam, Dodoma, Mwanza, Arusha au maeneo ya karibu, tumekuandalia orodha maalum ya viwanja vyetu vya mwezi huu.

​Bonyeza link kwenye Bio kuja WhatsApp kupata orodha hii bure sasa hivi:

15/05/2026

Makazi General & Car Dealers Agency ni Moja ya Commission Agency Kongwe na za Kuaminika Sana Nchini Tanzania...

Na Leo tumezindua rasmi Bonanza la kidigitali la vyombo vya moto yakowemo magari makubwa kwa madogo, maguta na pikipiki litakalokuwa linafanyika kila ijumaa, jumamosi na jumapili ya kila mwezi wakati tunaandaa utaratibu wa kulileta mtaani kwenye jiji lako.

Bonanza hili na kidigitali litakuwa ninafanyika kwenye channel maalumu ya Makazi General & Car Dealers đźš—

Link ya kushiriki Bonanza hii hapa.
⬇️⬇️
https://whatsapp.com/channel/0029VaCpJ56EVccK8MKqfI0Y

Kwenye Bonanza utapata nafasi ya kuuza na kununua chombo cha moto kwa bei nafuu sana (bei ya soko).

Wahi mapema uwasiliane na uongozi k**a unataka kuuza chombo chako cha moto au k**a unahitaji usafiri mzuri kwa bei nafuu ya soko.

Tunakaribisha wadhamini, makampuni, taasisi, wafanyabiashara na watu binafsi kushirikiana nasi latika Bonanza la " Vimba na Ndinga Kitaalamu "

Pia tunakaribisha matangazo ya biashara zinazoendana na magari, real estate, ujenzi, smart home solutions na accommodations kwenye jukwaa letu.

Kwa maelekezo zaidi wasiliana na idara ya masoko kwa namba 0785439614.
Au mkurugenzi mtendaji wa Makazi General & Car Dealers Agency kwa namba 0765113961.

Address

Kisasa Dodoma
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makazi General &Car Dealers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Makazi General &Car Dealers:

Share