13/08/2026
Nimewasikia, na nitatimiza ahadi.
Asante sana kwa mapenzi yenu na kwa support mnayoendelea kunipatia, kina mama, kina baba, vijana na watoto, kutoka kila kona ya Makadara. Upendo wenu unanipa nguvu zaidi ya kuendelea kuwahudumia na kutetea maslahi yenu.
Mlale salama, watu wangu. Mungu awabariki na awalinde.