28/05/2026
πππππ ππππ πππ πππππππ πππππππ
πππππππ π
Nura akienda sokoni,Mathew alimfuata akamuuliza k**a wataandamana? Nura akamwambia ndio ila watu wataongea wakituona. Mathew akamwambia wee achana na watu bna,ju hata wakisema watadu? Nura akamwambia wewe Mathew najua unaniambia tu nijihizi vizuri ila unajua mimi na wewe hatuendani mimi si type yako. Mathew akamwambia come,wewe ni kadem kapoa,kasupu,kakind so uko tu sawa usijali.
Tyrone ashapigia bank akawaambia kuna pesa yafaa achukue so he had to convince bank ndio watoe. Asha alikua hapo akamuuliza dad,pesa si ni zako mbona lazima uwaambia? Tyrone akamwamboa listen my daughter kazi sisi watu wa pesa huwa hivyo,so lazima tupeane sababu kwanza.
Punde si punde, Stano akamcall Tyrone,akamwambia mzae,ni ulete pesa na ukuje peke yako or else mambo yatakua mbaya. Saida alisikia,Sabina alikua hapo akasimia na Sabina akaambia Tyrone please,enda peke yako ju ukienda na mtu maisha ya Tinah yatakua in danger,please enda tu peke yako.
Stano na yeye ako na kibarua,atoke na Tinah kwa nyumba,aende na yeye hadi penye yafaa wakutane na akaambia Tinah sikiza,ni ucoperate or else utaona cha mtema kuni.
Tyrone akitaka kuondoka, Ray alifika. Saida akasema ju Ray amefika,acha aende na Ray. Ray akawauliza mnaongelea nini? Asha akasema wanaenda kupeleka pesa Tinah aachiliwe. Ray akaanza kucheka,akawaambia sikiza, Tinah hajakua kidnapped,ni script imechorwa tu hapa. Tyrone akamuuliza unamaanisha nini? Ray akawaambia sikiza,Tinah hajakua kidnapped,ni pesa za babake tu anangoja aendelee na sherehe. Sabina akaamka na hasira sana akamwambia wewe unajua uache ujinga? Ray akamwambia nyamaz,anaez ahata wapeleka penye Tinah ako.
Brayson aliamua kufunguka,akaambia Tyrone,sijasema ati Tinah anakutoka pesa,yeye hayuko hivyo,but kuna mtu anampush.Kisha Brayson akaangalia Sabina na kila mtu akaangalia Sabina hadi Sabina akawaambia wee mbona mnaniangalia mimi πππBrayson alikua very cleat,akawaambia sikiza,Tinah hajakua kidnapped na ndio mjue Tyrone usipeane pesa uone venye huyo jamaa atajam.
Sabina aligeukia Brayson,akamwambia sikiza hizo plans zako na Saida haitawork. Saida akamuuliza wee,sasa naingilia wapi kwa maneno ya Brayson? Ebu unikome wewe mwanamke. Tyrone akaona hii drama ya wawili hataingulia,akaenda huyoo kwa room huko juu πππ Sabina akamfuata huko juu.
Asha aliambia Brayson sikiza, usiogope,heri useme ukweli kuliko uumue kwa kujificha na k**a kuna ukweli ingine sema yote.
πππππππ π
Tyrone alimcall Robert akamwambia guess what, Braysona mekua hapa akasema Tinah hakua kidnapped kuna mtu behind her pushing her to do things. Robert akamwambia huyo lazima ni mamake.
Punde si punde Sabina akafika akamwambia please Tyrone,usisikize maneno ya Brayson,fanya kitu tuokoe mtoto wangu hata k**a si mtoto wako. Tyrone akamwambia sasa sikiza, the only way ya kusaidia Tinah ni kutumia polisi ju ni wao ndio wanaeza saidia,si sisi.
Robert alikuja akaambia akina Kylian kuwa kuna information Tinah anaeza kuwa ameplot the kidnapping na naenda kwa Tyrone kuulizia what happened exactly. Robert wakaenda kuvaa ndio watoka,kumbe wakiwa kwa room Kefa aliingia akapata Kylian hapo.
Wacha sasa Robert wafike,wapate Kefa hapo,Robert alijam saba akamwambia ebu toka ama nikuitie polisi. Kylian akajaribu kuambia babake lakini wapi Robert alikataa. Kefa akawaambia hakuna shida, sitaki maneno acha niende.
Sabina alimcall Stano πππakamwambia wee mambo yamechemka na Tyrone hakuji. Stano wakati ako kwa simu Tinah akaona ahepe ati na sasa kitu Stano hakupenda ni ati huenda Tyrone ameinvolve makarao. Kuona Tinah kanahepa alikapiga risasi huku akiwa kwa call na Sabina. Lakini Stano si mjinga hakumshoot,alipiga kando ya kumshtua tu ππ
Stano alikuja akaambia Tinah ni twende haraka ju sina time ya kuwaste mimi. Yeah Tinah hakupigwa risasi kalishtuliwa tu.
Nura na Mathew wametoka sokoni na kumbe Mathew amebambika sana kutembea na Nura. Walifika kwa gate Mathew akamwambia Nura manze,umefanya hadi mind yangu yangu ikatulia na ju tumefika hapa itabidi tuact normal.
Kisha Mathew akamuita Nura akaamua kumpea kiss,Nura kumbe pia na yeye amejipa kwake akafunga macho kupewa kiss lakini si kiss,ni kakitu alikua anamtoa kwa macho πππpunde si punde,akina Kylia wakafika na Kylian akajionea yeye mwenywe na macho yake Mathew akijaribu kumkiss Nura lakini haikua kiss,alikua anatoa kitu kwa macho ya Nura πππ
Stano after kuona deal imekatika,alimrudisha Tinah kwa nyumba,kwanza alikababe na already ashaambia Sabina anakuja.
Tinah kaliletwa kakalalishwa kwa kitanda yake kawaida.
Punde si punde, Stano akamcall Brayson,akamuuliza mbona Sabina amenicall akasema umeambia Tyrone usilete pesa? Brayson akamwambia usijali,plan bado iko acha nitakucall baadaye nikuambie plan B. Punde si punde, Sabina ashafika kwa Stano,anataka kumuona Tinah,na hataki mchezo.
Kwani Brayson anacheza game gani? Tutajua kesho.